1 Wakorintho 6:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 wezi, watu wenye pupa,+ walevi,+ watukanaji,* na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.+ Wagalatia 5:21 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 21 husuda, ulevi,+ karamu zenye vurugu, * na mambo kama hayo.+ Ninawaonya mapema kuhusu mambo hayo, kama vile nilivyowaonya tayari, kwamba wale wanaozoea kufanya mambo hayo hawataurithi Ufalme wa Mungu.+ Waefeso 5:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Pia, msilewe divai,+ ambayo ina upotovu,* bali endeleeni kujazwa roho.
21 husuda, ulevi,+ karamu zenye vurugu, * na mambo kama hayo.+ Ninawaonya mapema kuhusu mambo hayo, kama vile nilivyowaonya tayari, kwamba wale wanaozoea kufanya mambo hayo hawataurithi Ufalme wa Mungu.+