Luka 21:34 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 34 “Lakini jiangalieni wenyewe ili mioyo yenu isilemewe kamwe na kula na kunywa kupita kiasi+ na mahangaiko ya maisha,+ na siku ile iwakute ghafla Waroma 13:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+
34 “Lakini jiangalieni wenyewe ili mioyo yenu isilemewe kamwe na kula na kunywa kupita kiasi+ na mahangaiko ya maisha,+ na siku ile iwakute ghafla
13 Na tujiendeshe kwa adabu+ kama wakati wa mchana, si katika karamu zenye vurugu* na ulevi, si katika ngono isiyo halali na mwenendo mpotovu,*+ si katika mizozo na wivu.+