Methali 11:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+ Mathayo 6:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 “Kwa hiyo ninawaambia: Acheni kuhangaikia+ uhai wenu* kuhusu kile mtakachokula au kunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, uhai* si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+ 1 Timotheo 6:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 Basi, tukiwa na chakula* na mavazi,* tutaridhika na vitu hivyo.+
4 Mali haitakuwa* na faida yoyote siku ya ghadhabu,+Lakini uadilifu ndio utakaookoa kutoka katika kifo.+
25 “Kwa hiyo ninawaambia: Acheni kuhangaikia+ uhai wenu* kuhusu kile mtakachokula au kunywa, au juu ya miili yenu kuhusu kile mtakachovaa.+ Je, uhai* si zaidi ya chakula na mwili zaidi ya mavazi?+