-
Waefeso 4:17-19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
17 Basi ninasema na kushuhudia katika Bwana, kwamba msiishi tena kama watu wa mataifa wanavyoishi,+ katika ubatili wa akili zao.+ 18 Wako gizani kiakili na wametenganishwa na uzima ambao ni wa Mungu, kwa sababu ya ujinga ulio ndani yao na kwa sababu ya ugumu wa* mioyo yao. 19 Kwa kuwa wamepotoka kabisa kimaadili, wamejiingiza katika mwenendo mpotovu*+ na kufanya mambo machafu ya kila namna kwa pupa.
-