Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Marko 7:21, 22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 21 Kwa maana kutoka ndani, moyoni mwa watu,+ hutoka mawazo mabaya: uasherati,* wizi, mauaji, 22 uzinzi, pupa, uovu, udanganyifu, mwenendo mpotovu,* jicho lenye wivu, makufuru, majivuno, na ukosefu wa akili.

  • Waefeso 4:19
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Kwa kuwa wamepotoka kabisa kimaadili, wamejiingiza katika mwenendo mpotovu*+ na kufanya mambo machafu ya kila namna kwa pupa.

  • 2 Petro 2:2
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 2 Zaidi ya hayo, wengi watafuata mwenendo wao mpotovu,*+ na kwa sababu yao ile njia ya kweli itatukanwa.+

  • Yuda 4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 Kwa maana watu fulani wameingia kisiri kati yenu ambao Maandiko yalisema tangu zamani kwamba wanastahili hukumu; watu hao hawamwogopi Mungu, wanazitumia fadhili zisizostahiliwa za Mungu wetu kuwa kisingizio cha mwenendo mpotovu*+ wakimkana mmiliki* wetu pekee na Bwana wetu, Yesu Kristo.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki