Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 5:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Katika barua yangu niliwaandikia mwache kushirikiana* na waasherati,*

  • Waefeso 5:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Uasherati* na kila namna ya ukosefu wa usafi au pupa visitajwe kamwe miongoni mwenu,+ kama inavyowafaa watu watakatifu;+

  • Wakolosai 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Kwa hiyo, viueni viungo vya mwili wenu+ vilivyo duniani kuhusiana na uasherati,* uchafu, hamu isiyodhibitiwa ya ngono,+ tamaa yenye madhara, na pupa, ambayo ni ibada ya sanamu.

  • Ufunuo 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 “‘Hata hivyo, nina jambo hili dhidi yako, kwamba unamvumilia yule mwanamke Yezebeli,+ anayejiita nabii, naye anafundisha na kuwapotosha watumwa wangu wafanye uasherati*+ na kula vitu vilivyotolewa dhabihu kwa sanamu.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki