Marko 9:43 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 43 “Ikiwa mkono wako unakufanya ukwazike, ukate. Ni afadhali uingie katika uzima ukiwa kilema kuliko kuingia ukiwa na mikono miwili katika Gehena,* katika moto usioweza kuzimwa.+ Wagalatia 5:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Isitoshe, wale walio wa Kristo Yesu wametundika mwili mtini pamoja na mawazo na tamaa zake mbaya.+
43 “Ikiwa mkono wako unakufanya ukwazike, ukate. Ni afadhali uingie katika uzima ukiwa kilema kuliko kuingia ukiwa na mikono miwili katika Gehena,* katika moto usioweza kuzimwa.+
24 Isitoshe, wale walio wa Kristo Yesu wametundika mwili mtini pamoja na mawazo na tamaa zake mbaya.+