Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Wakorintho 6:9, 10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Au je, hamjui kwamba watu wasio waadilifu hawataurithi Ufalme wa Mungu?+ Msipotoshwe.* Waasherati,*+ waabudu-sanamu,+ wazinzi,+ wanaume wanaofanya ngono na wanaume,*+ 10 wezi, watu wenye pupa,+ walevi,+ watukanaji,* na wanyang’anyi hawataurithi Ufalme wa Mungu.+

  • Wagalatia 5:19-21
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 19 Sasa matendo ya mwili huonekana wazi, nayo ni uasherati,*+ uchafu, mwenendo mpotovu,*+ 20 ibada ya sanamu, kuwasiliana na roho,*+ chuki, mizozo, wivu, milipuko ya hasira, migogoro, migawanyiko, madhehebu, 21 husuda, ulevi,+ karamu zenye vurugu, * na mambo kama hayo.+ Ninawaonya mapema kuhusu mambo hayo, kama vile nilivyowaonya tayari, kwamba wale wanaozoea kufanya mambo hayo hawataurithi Ufalme wa Mungu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki