Marko 7:11, 12 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Lakini ninyi mnasema, ‘Mtu akimwambia baba yake au mama yake: “Chochote nilicho nacho ambacho kingekusaidia ni korbani, (yaani, zawadi iliyowekwa wakfu kwa Mungu),”’ 12 hivyo mnamzuia kumsaidia kwa chochote baba yake au mama yake.+
11 Lakini ninyi mnasema, ‘Mtu akimwambia baba yake au mama yake: “Chochote nilicho nacho ambacho kingekusaidia ni korbani, (yaani, zawadi iliyowekwa wakfu kwa Mungu),”’ 12 hivyo mnamzuia kumsaidia kwa chochote baba yake au mama yake.+