Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 52:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Lakini mimi nitakuwa kama mzeituni wenye majani mengi katika nyumba ya Mungu;

      Ninautumaini upendo mshikamanifu wa Mungu,+ milele na milele.

  • Isaya 61:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  3 Kuwaandalia mahitaji wale wanaoombolezea Sayuni,

      Kuwapa vazi la kichwani badala ya majivu,

      Mafuta ya furaha badala ya maombolezo,

      Vazi la sifa badala ya roho iliyovunjika.

      Nao wataitwa miti mikubwa ya uadilifu,

      Bustani ya Yehova, ili kumtukuza.*+

  • Isaya 65:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,

      Wala hawatapanda na watu wengine wale.

      Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+

      Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki