Amosi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+ Mika 4:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.
14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+
4 Wataketi,* kila mtu chini ya mzabibu wake na chini ya mtini wake,+Na hakuna yeyote atakayewaogopesha,+Kwa maana kinywa cha Yehova wa majeshi kimesema hayo.