Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 32:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Watu wangu watakaa katika makao ya kudumu yenye amani,

      Katika makao salama na mahali pa kupumzika penye utulivu.+

  • Yeremia 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa kwa usalama.+ Naye ataitwa jina hili: Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+

  • Hosea 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+

      Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+

      Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+

      Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki