Isaya 32:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Watu wangu watakaa katika makao ya kudumu yenye amani,Katika makao salama na mahali pa kupumzika penye utulivu.+ Yeremia 23:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa kwa usalama.+ Naye ataitwa jina hili: Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+ Hosea 2:18 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+
18 Watu wangu watakaa katika makao ya kudumu yenye amani,Katika makao salama na mahali pa kupumzika penye utulivu.+
6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa kwa usalama.+ Naye ataitwa jina hili: Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+
18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+