Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Isaya 60:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Ukatili hautasikiwa tena katika nchi yako

      Wala maangamizi na uharibifu katika mipaka yako.+

      Nawe utaziita kuta zako Wokovu+ na malango yako Sifa.

  • Isaya 65:22
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Hawatajenga na mtu mwingine akae ndani yake,

      Wala hawatapanda na watu wengine wale.

      Kwa maana siku za watu wangu zitakuwa kama siku za mti,+

      Na watu wangu niliowachagua watafurahia kikamili kazi ya mikono yao.

  • Yeremia 23:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 6 Katika siku zake Yuda ataokolewa,+ na Israeli atakaa kwa usalama.+ Naye ataitwa jina hili: Yehova Ni Uadilifu Wetu.”+

  • Ezekieli 34:25
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 25 “‘“Nitafanya agano la amani pamoja nao,+ na kuwaondoa kabisa nchini wanyama hatari wa mwituni,+ ili wakae kwa usalama nyikani na kulala misituni.+

  • Hosea 2:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Siku hiyo nitafanya agano na wanyama wa mwituni kwa ajili ya watu wangu,+

      Pia na ndege wa angani na viumbe wa ardhini wanaotambaa;+

      Nitaondoa upinde na upanga na vita nchini,+

      Nami nitawafanya walale* kwa usalama.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki