6 Basi ikawa kwamba, mara tu Sanbalati+ na Tobia+ na Geshemu+ Mwarabu+ na wale adui zetu wengine walipoambiwa kuwa nimejenga upya ukuta+ na kwamba hakuna shimo lolote limebaki ndani yake (ingawa kufikia wakati huo sikuwa nimeisimamisha milango+ katika malango),+