Nehemia 2:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ ofisa* Mwamoni+ waliposikia jambo hilo, walikasirika sana kwa sababu mtu fulani alikuwa amekuja kuwatendea watu wa Israeli jambo jema. Nehemia 4:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 Basi Tobia+ Mwamoni,+ aliyekuwa amesimama kando yake, akasema: “Hata mbweha akipanda juu ya kile wanachojenga, atauangusha ukuta wao wa mawe.”
10 Sanbalati+ Mhoroni na Tobia+ ofisa* Mwamoni+ waliposikia jambo hilo, walikasirika sana kwa sababu mtu fulani alikuwa amekuja kuwatendea watu wa Israeli jambo jema.
3 Basi Tobia+ Mwamoni,+ aliyekuwa amesimama kando yake, akasema: “Hata mbweha akipanda juu ya kile wanachojenga, atauangusha ukuta wao wa mawe.”