Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kumbukumbu la Torati 30:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 ndipo Yehova Mungu wenu atakapowarudisha mateka wenu+ na kuwaonyesha ninyi rehema+ na kuwakusanya tena kutoka katika mataifa yote ambako Yehova Mungu wenu aliwatawanya.+

  • Nehemia 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Lakini mkinirudia na kuzishika amri zangu na kuzitii, hata ingawa mtakuwa mmetawanyika mpaka kwenye mwisho wa mbingu, nitawakusanya+ na kuwaleta mahali ambapo nimepachagua ili jina langu likae hapo.’+⁠

  • Isaya 11:11, 12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Siku hiyo Yehova ataunyoosha tena mkono wake, mara ya pili, ili kuwakomboa watu wake waliobaki kutoka Ashuru,+ kutoka Misri,+ kutoka Pathrosi,+ kutoka Kushi,+ kutoka Elamu,+ kutoka Shinari,*+ kutoka Hamathi, na kutoka katika visiwa vya bahari. 12 Atainua ishara* kwa ajili ya mataifa na kuwakusanya watu wa Israeli+ waliotawanywa, na watu wa Yuda waliotawanywa atawakusanya pamoja kutoka katika pembe nne za dunia.+

  • Amosi 9:14
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 14 Nitawakusanya na kuwarudisha watu wangu Waisraeli walio utekwani,+

      Nao watajenga upya majiji yaliyoachwa ukiwa na kuishi humo;+

      Watapanda mashamba ya mizabibu na kunywa divai yake,+

      Nao watalima bustani za matunda na kula matunda yake.’+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki