-
2 Wafalme 10:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Basi wakusanyeni manabii wote wa Baali,+ waabudu wake wote, na makuhani wake wote+ waje kwangu. Hakikisheni kwamba hakuna hata mmoja atakayekosa kufika, kwa sababu nina dhabihu kubwa kwa ajili ya Baali. Yeyote atakayekosa kufika hataishi.” Lakini Yehu alikuwa akitenda kwa ujanja ili awaangamize waabudu wa Baali.
-