-
2 Wafalme 10:19Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
19 Basi sasa waiteni kwangu manabii+ wote wa Baali, waabudu+ wake wote na makuhani+ wake wote. Msiache hata mmoja akose kuwapo, kwa sababu nina dhabihu kubwa kwa ajili ya Baali. Yeyote atakayekosa kuwapo hataendelea kuishi.” Kwa habari ya Yehu, yeye alitenda kwa ujanja,+ kusudi awaharibu waabudu wa Baali.
-