Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 7:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  8 Yehova mwenyewe atavihukumu vikundi vya watu.+

      Nihukumu, Ee Yehova, kulingana na uadilifu wangu+

      Na kulingana na utimilifu+ wangu ulio ndani yangu.

  • Zaburi 35:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Endesha kesi yangu dhidi ya wapinzani wangu, Ee Yehova;+

      Upigane na wale wanaopigana nami.+

  • Zaburi 69:18
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 18 Njoo karibu na nafsi yangu, uiokoe;+

      Kwa sababu ya adui zangu, unikomboe.+

  • Yeremia 11:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Lakini Yehova wa majeshi anahukumu kwa uadilifu;+ anachunguza figo na moyo.+ Lo! acha nione kisasi chako juu yao, kwa maana ni kwako wewe nimeifunua kesi yangu.+

  • Yeremia 51:36
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 36 Kwa hiyo Yehova amesema hivi: “Tazama, ninaendesha kesi yako,+ nami hakika nitalipiza kisasi kwa ajili yako.+ Nami nitaikausha bahari yake, nitavikausha visima vyake.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki