Zaburi 31:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 Enyi washikamanifu wake wote, mpendeni Yehova.+Yehova anawalinda waaminifu,+Lakini anampa malipo tele yeyote anayeonyesha majivuno.+ Zaburi 37:28 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+ Zaburi 97:10 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+
23 Enyi washikamanifu wake wote, mpendeni Yehova.+Yehova anawalinda waaminifu,+Lakini anampa malipo tele yeyote anayeonyesha majivuno.+
28 Kwa maana Yehova ni mpenda-haki,+Naye hatawaacha washikamanifu wake.+ ע [ʽAʹyin]Hakika watalindwa mpaka wakati usio na kipimo;+Lakini wazao wa waovu, hakika watakatiliwa mbali.+
10 Enyi mnaompenda Yehova,+ chukieni yaliyo mabaya.+Yeye anazilinda nafsi za washikamanifu wake;+Huwakomboa kutoka katika mkono wa waovu.+