Zaburi 1:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Kwa maana Yehova anaijua njia ya waadilifu,+Bali njia ya waovu itaangamia.+ Methali 2:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Nao waovu, watakatiliwa mbali kutoka duniani;+ nao wenye hila, watang’olewa kutoka ndani yake.+