Zaburi 91:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 91 Yeyote anayekaa mahali pa siri+ pa Aliye Juu Zaidi+Atajipatia makao katika kivuli cha Mweza-Yote.+ Zaburi 121:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Yehova anakulinda.+Yehova ni kivuli chako+ kwenye mkono wako wa kuume.+ Zaburi 121:6 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 6 Wakati wa mchana, jua halitakupiga,+Wala mwezi wakati wa usiku.+ Ufunuo 7:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Hawatakuwa na njaa tena wala kuwa na kiu tena, wala jua halitawachoma wala joto lolote lenye kuunguza,+
91 Yeyote anayekaa mahali pa siri+ pa Aliye Juu Zaidi+Atajipatia makao katika kivuli cha Mweza-Yote.+
16 Hawatakuwa na njaa tena wala kuwa na kiu tena, wala jua halitawachoma wala joto lolote lenye kuunguza,+