Zaburi 18:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+ Zaburi 27:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+ Zaburi 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+
11 Kisha akalifanya giza kuwa mahali pake pa kujificha,+Kama kibanda cha kumzunguka pande zote, Maji yenye giza, mawingu mazito.+
5 Kwa maana atanificha mafichoni mwake katika siku ya msiba;+Atanificha katika mahali pa siri pa hema lake;+Ataniweka juu kwenye mwamba.+
20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+