Zaburi 31:20 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+ Zaburi 32:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela. Zaburi 57:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+ Sefania 2:3 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+
20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+
7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela.
57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+
3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+