Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Zaburi 31:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 Utawaficha katika mahali pa siri pa uso wako+

      Mbali na ukusanyikaji pamoja wa watu.+

      Utawaficha katika kibanda chako mbali na kugombana kwa ndimi.+

  • Zaburi 32:7
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  7 Wewe ni mahali pangu pa kujificha; utanilinda kutokana na taabu.+

      Utanizingira kwa vigelegele vya shangwe kwa sababu ya kuniokoa.+ Sela.

  • Zaburi 57:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+

      Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+

      Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+

  • Sefania 2:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 mtafuteni Yehova,+ ninyi nyote mlio wapole wa dunia,+ ambao mmetenda uamuzi Wake wa hukumu. Utafuteni uadilifu,+ utafuteni upole.+ Huenda+ mkafichwa katika siku ya hasira ya Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki