Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Waroma 9:33
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 33 kama ilivyoandikwa: “Tazama! Ninaweka katika Sayuni jiwe+ la kukwaza na mwamba wa kuangusha,+ lakini yeye anayemwamini hatakata tamaa.”+

  • 1 Wakorintho 3:11
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 11 Kwa maana hakuna mtu anayeweza kuweka msingi+ mwingine wowote kuliko ule uliowekwa, ambao ni Yesu Kristo.+

  • 1 Wakorintho 10:4
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 4 na wote walikunywa maji+ yaleyale ya kiroho. Kwa maana walikuwa wakinywa kutokana na mwamba+ wa kiroho uliowafuata, na mwamba+ huo ulimaanisha Kristo.+

  • Waefeso 2:20
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 20 nanyi mmejengwa juu ya msingi+ wa mitume+ na manabii,+ naye Kristo Yesu mwenyewe akiwa ndiye jiwe la msingi la pembeni.+

  • 1 Petro 2:8
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 8 na “jiwe la kukwaza na mwamba wa kuangusha.”+ Hawa wanajikwaa kwa sababu si watiifu kwa lile neno. Kwa sababu hiyo pia waliwekwa rasmi.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki