Waamuzi 8:32 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 32 Gideoni mwana wa Yoashi akafa baada ya kuishi maisha marefu, akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake katika jiji la Ofra la Waabiezeri.+
32 Gideoni mwana wa Yoashi akafa baada ya kuishi maisha marefu, akazikwa katika kaburi la Yoashi baba yake katika jiji la Ofra la Waabiezeri.+