Waamuzi 6:11 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione. Waamuzi 6:24 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 24 Basi Gideoni akamjengea Yehova madhabahu hapo, ambayo mpaka leo hii inaitwa Yehova-shalomu.*+ Bado iko huko Ofra ya Waabiezeri.
11 Baadaye malaika wa Yehova akaja+ na kuketi chini ya mti mkubwa wa Yoashi Mwabiezeri uliokuwa Ofra.+ Gideoni mwanawe+ alikuwa akipura ngano katika shinikizo la divai ili Wamidiani wasiione.
24 Basi Gideoni akamjengea Yehova madhabahu hapo, ambayo mpaka leo hii inaitwa Yehova-shalomu.*+ Bado iko huko Ofra ya Waabiezeri.