42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+
23 Na Yehova ndiye atakayemlipa kila mmoja uadilifu+ wake na uaminifu wake, kwa kuwa Yehova leo alikutia mkononi mwangu, nami sikutaka kunyoosha mkono wangu juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova.+