Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 31:42
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 42 Kama Mungu wa baba yangu,+ Mungu wa Abrahamu na aliye Hofu ya Isaka,+ hangekuwa upande wangu, wewe ungeniacha sasa niende zangu nikiwa mikono mitupu. Taabu na kazi ya mikono yangu Mungu ameona, na kwa hiyo akakukaripia usiku uliopita.”+

  • 1 Samweli 26:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 Na Yehova ndiye atakayemlipa kila mmoja uadilifu+ wake na uaminifu wake, kwa kuwa Yehova leo alikutia mkononi mwangu, nami sikutaka kunyoosha mkono wangu juu ya mtiwa-mafuta wa Yehova.+

  • Zaburi 7:6
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    •  6 Usimame, Ee Yehova, katika hasira yako;+

      Uinuke katika milipuko ya ghadhabu ya wale wanaonionyesha uadui,+

      Na uamke kwa ajili yangu,+ kwa maana umetoa amri kwa ajili ya hukumu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki