1 Samweli 22:4 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 4 Basi akawapa makao mbele ya mfalme wa Moabu, nao wakaendelea kukaa pamoja naye siku zote ambazo Daudi alikuwa mahali pasipoweza kufikiwa.+ 1 Samweli 23:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+ 1 Samweli 24:22 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 22 Kwa hiyo Daudi akamwapia Sauli, kisha Sauli akaenda nyumbani kwake.+ Naye Daudi na watu wake wakapanda, wakaenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+
4 Basi akawapa makao mbele ya mfalme wa Moabu, nao wakaendelea kukaa pamoja naye siku zote ambazo Daudi alikuwa mahali pasipoweza kufikiwa.+
14 Na Daudi akaanza kukaa nyikani, katika mahali palipo pagumu kufikiwa, naye akaendelea kukaa katika eneo lenye milima katika nyika ya Zifu.+ Na Sauli akaendelea kumtafuta sikuzote,+ naye Mungu hakumtia mkononi mwake.+
22 Kwa hiyo Daudi akamwapia Sauli, kisha Sauli akaenda nyumbani kwake.+ Naye Daudi na watu wake wakapanda, wakaenda mahali palipo pagumu kufikiwa.+