Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • 1 Samweli 22:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 22 Basi Daudi akaondoka huko,+ na kukimbilia+ pango+ la Adulamu;+ na ndugu zake na nyumba yote ya baba yake wakasikia habari hiyo, nao wakaondoka, wakashuka kumwendea huko.

  • 2 Samweli 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na watatu kati ya wale 30 waliokuwa vichwa+ wakashuka, wakaja kwa Daudi wakati wa mavuno, katika pango la Adulamu;+ na kijiji cha mahema cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+

  • Zaburi 57:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 57 Unionyeshe kibali, Ee Mungu, unionyeshe kibali,+

      Kwa maana nafsi yangu imekukimbilia wewe;+

      Na katika kivuli cha mabawa yako nimekimbilia mpaka shida zipitilie mbali.+

  • Zaburi 142:utangulizi
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • Maskili. Ya Daudi, alipokuwa pangoni.+ Sala.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki