Zaburi 34:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Mwadilifu ana misiba mingi,+Lakini Yehova humkomboa kutoka katika yote hiyo.+ Zaburi 56:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+
13 Kwa maana umeikomboa nafsi yangu na kifo+—Je, hukuikomboa miguu yangu isijikwae?+—Ili nipate kutembea mbele za Mungu katika nuru ya wale walio hai.+