Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mwanzo 38:1
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 38 Sasa ikawa wakati huo kwamba Yuda aliposhuka kutoka kwa ndugu zake, alipiga hema karibu na mwanamume, Mwadulamu,+ na jina lake lilikuwa Hira.

  • Yoshua 15:35
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 35 Yarmuthi+ na Adulamu,+ Soko+ na Azeka,+

  • 2 Samweli 23:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Na watatu kati ya wale 30 waliokuwa vichwa+ wakashuka, wakaja kwa Daudi wakati wa mavuno, katika pango la Adulamu;+ na kijiji cha mahema cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+

  • 1 Mambo ya Nyakati 11:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Na watatu kati ya wale 30+ waliokuwa vichwa wakashuka kwenda mwambani, kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ huku kambi ya Wafilisti ikiwa imepigwa katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+

  • Mika 1:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 Bado nitakuletea mnyang’anyi,+ Ee mwanamke mkaaji wa Maresha.+ Utukufu wa Israeli utakuja mpaka Adulamu.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki