13 Na watatu kati ya wale 30 waliokuwa vichwa+ wakashuka, wakaja kwa Daudi wakati wa mavuno, katika pango la Adulamu;+ na kijiji cha mahema cha Wafilisti kilikuwa kimepiga kambi katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+
15 Na watatu kati ya wale 30+ waliokuwa vichwa wakashuka kwenda mwambani, kwa Daudi katika pango la Adulamu,+ huku kambi ya Wafilisti ikiwa imepigwa katika nchi tambarare ya chini ya Refaimu.+