Mwanzo 38:1 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 38 Sasa ikawa wakati huo kwamba Yuda aliposhuka kutoka kwa ndugu zake, alipiga hema karibu na mwanamume, Mwadulamu,+ na jina lake lilikuwa Hira. Nehemia 11:30 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 30 Zanoa,+ Adulamu+ na makao yake, Lakishi+ na mashamba yake, Azeka+ na miji yake ya kandokando. Nao wakapiga kambi kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.+
38 Sasa ikawa wakati huo kwamba Yuda aliposhuka kutoka kwa ndugu zake, alipiga hema karibu na mwanamume, Mwadulamu,+ na jina lake lilikuwa Hira.
30 Zanoa,+ Adulamu+ na makao yake, Lakishi+ na mashamba yake, Azeka+ na miji yake ya kandokando. Nao wakapiga kambi kutoka Beer-sheba mpaka bonde la Hinomu.+