Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 4
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya

Hakuna video yoyote kwa sasa.

Samahani, haikuwezekana kupakia video.

Mambo ya Walawi 4:2

Marejeo

  • +Mwa 46:26
  • +Law 5:17; Hes 15:28; Zb 119:67; Gal 6:1; Yak 2:10

Mambo ya Walawi 4:3

Marejeo

  • +Law 8:12; 21:10; Lu 4:18; Ebr 1:9
  • +Hes 12:1; Ebr 4:15; 7:26
  • +Ebr 5:3; 7:27

Mambo ya Walawi 4:4

Marejeo

  • +Law 1:3; 6:25
  • +Kut 29:10; Law 1:4

Mambo ya Walawi 4:5

Marejeo

  • +Kut 29:29; 30:30

Mambo ya Walawi 4:6

Marejeo

  • +Law 8:15; 16:19
  • +Law 16:14

Mambo ya Walawi 4:7

Marejeo

  • +Kut 30:10
  • +Law 5:9

Mambo ya Walawi 4:8

Marejeo

  • +Law 4:19, 26

Mambo ya Walawi 4:9

Marejeo

  • +Law 3:4; 9:10

Mambo ya Walawi 4:10

Marejeo

  • +Law 3:3
  • +Law 4:26; Zb 20:3; Ebr 10:8

Mambo ya Walawi 4:11

Marejeo

  • +Kut 29:14; Hes 19:5

Mambo ya Walawi 4:12

Marejeo

  • +Hes 5:3; Ebr 13:11
  • +Law 6:11
  • +Law 8:17

Mambo ya Walawi 4:13

Marejeo

  • +Yos 7:11; Met 14:34
  • +Kut 32:30; Hes 15:24

Mambo ya Walawi 4:14

Marejeo

  • +Mhu 12:14; 1Ti 5:24

Mambo ya Walawi 4:15

Marejeo

  • +Kut 29:10; Law 1:4; 3:2; 16:21; Mt 8:17; Ebr 9:28; 1Pe 2:24

Mambo ya Walawi 4:16

Marejeo

  • +Kut 40:15
  • +Law 4:5

Mambo ya Walawi 4:17

Marejeo

  • +Kut 26:31; 40:21; Ebr 10:20

Mambo ya Walawi 4:18

Marejeo

  • +Kut 30:1, 6
  • +Kut 27:1; 40:6; Law 4:7

Mambo ya Walawi 4:19

Marejeo

  • +Law 3:16

Mambo ya Walawi 4:20

Marejeo

  • +Kut 32:30; Law 12:8; 16:17; Hes 15:25; Efe 1:7; 1Ti 2:5; Ebr 2:17

Mambo ya Walawi 4:21

Marejeo

  • +Law 4:12
  • +Law 16:15; Mt 20:28; Yoh 1:29; 1Yo 2:2

Mambo ya Walawi 4:22

Marejeo

  • +Kut 18:21; Hes 16:2; 34:18; Yos 22:14; 2Sa 24:10
  • +Law 5:4, 17; 6:2

Mambo ya Walawi 4:23

Marejeo

  • +2Sa 12:13
  • +Law 23:19; Hes 15:24; 28:15; 29:5

Mambo ya Walawi 4:24

Marejeo

  • +Law 1:4; 4:4; Met 28:13; Isa 53:6
  • +Law 1:11; 3:2; 6:25; 7:2
  • +Law 4:3

Mambo ya Walawi 4:25

Marejeo

  • +Law 8:15; 9:9; 16:18; Ebr 9:22

Mambo ya Walawi 4:26

Marejeo

  • +Law 3:5
  • +Kut 32:30; Hes 15:28

Mambo ya Walawi 4:27

Marejeo

  • +Kut 12:49; Hes 5:6; 15:29

Mambo ya Walawi 4:28

Marejeo

  • +Law 5:6

Mambo ya Walawi 4:29

Marejeo

  • +Law 1:4; 3:2; 4:4; 16:21; Met 28:13; Isa 53:6; Mt 8:17; 1Pe 2:24
  • +Law 1:11; 6:25

Mambo ya Walawi 4:30

Marejeo

  • +Law 4:25
  • +Law 8:15; 9:9; Ebr 9:22

Mambo ya Walawi 4:31

Marejeo

  • +Law 3:16; 4:8
  • +Law 3:3
  • +Kut 29:18; Law 1:9; 3:5; 8:21; Ezr 6:10
  • +Law 4:26; Ho. 14:2

Mambo ya Walawi 4:32

Marejeo

  • +Isa 53:7; Yoh 1:29; Ebr 9:14; 1Pe 1:19
  • +Law 3:6; Ebr 7:26; 9:14; 1Pe 2:22

Mambo ya Walawi 4:33

Marejeo

  • +Law 1:11; 4:4

Mambo ya Walawi 4:34

Marejeo

  • +Law 4:25; 16:18

Mambo ya Walawi 4:35

Marejeo

  • +Kut 29:13; Law 3:3; 6:12; 9:10
  • +Law 1:4; 4:26, 31; 6:7; 16:30; Hes 15:28; Kol 1:14; 1Yo 2:2
  • +1Yo 1:7

Tafsiri Mbalimbali

Bofya nambari ya mstari ili kuona mstari huo katika tafsiri mbalimbali za Biblia.

Jumla

Law. 4:2Mwa 46:26
Law. 4:2Law 5:17; Hes 15:28; Zb 119:67; Gal 6:1; Yak 2:10
Law. 4:3Law 8:12; 21:10; Lu 4:18; Ebr 1:9
Law. 4:3Hes 12:1; Ebr 4:15; 7:26
Law. 4:3Ebr 5:3; 7:27
Law. 4:4Law 1:3; 6:25
Law. 4:4Kut 29:10; Law 1:4
Law. 4:5Kut 29:29; 30:30
Law. 4:6Law 8:15; 16:19
Law. 4:6Law 16:14
Law. 4:7Kut 30:10
Law. 4:7Law 5:9
Law. 4:8Law 4:19, 26
Law. 4:9Law 3:4; 9:10
Law. 4:10Law 3:3
Law. 4:10Law 4:26; Zb 20:3; Ebr 10:8
Law. 4:11Kut 29:14; Hes 19:5
Law. 4:12Hes 5:3; Ebr 13:11
Law. 4:12Law 6:11
Law. 4:12Law 8:17
Law. 4:13Yos 7:11; Met 14:34
Law. 4:13Kut 32:30; Hes 15:24
Law. 4:14Mhu 12:14; 1Ti 5:24
Law. 4:15Kut 29:10; Law 1:4; 3:2; 16:21; Mt 8:17; Ebr 9:28; 1Pe 2:24
Law. 4:16Kut 40:15
Law. 4:16Law 4:5
Law. 4:17Kut 26:31; 40:21; Ebr 10:20
Law. 4:18Kut 30:1, 6
Law. 4:18Kut 27:1; 40:6; Law 4:7
Law. 4:19Law 3:16
Law. 4:20Kut 32:30; Law 12:8; 16:17; Hes 15:25; Efe 1:7; 1Ti 2:5; Ebr 2:17
Law. 4:21Law 4:12
Law. 4:21Law 16:15; Mt 20:28; Yoh 1:29; 1Yo 2:2
Law. 4:22Kut 18:21; Hes 16:2; 34:18; Yos 22:14; 2Sa 24:10
Law. 4:22Law 5:4, 17; 6:2
Law. 4:232Sa 12:13
Law. 4:23Law 23:19; Hes 15:24; 28:15; 29:5
Law. 4:24Law 1:4; 4:4; Met 28:13; Isa 53:6
Law. 4:24Law 1:11; 3:2; 6:25; 7:2
Law. 4:24Law 4:3
Law. 4:25Law 8:15; 9:9; 16:18; Ebr 9:22
Law. 4:26Law 3:5
Law. 4:26Kut 32:30; Hes 15:28
Law. 4:27Kut 12:49; Hes 5:6; 15:29
Law. 4:28Law 5:6
Law. 4:29Law 1:4; 3:2; 4:4; 16:21; Met 28:13; Isa 53:6; Mt 8:17; 1Pe 2:24
Law. 4:29Law 1:11; 6:25
Law. 4:30Law 4:25
Law. 4:30Law 8:15; 9:9; Ebr 9:22
Law. 4:31Law 3:16; 4:8
Law. 4:31Law 3:3
Law. 4:31Kut 29:18; Law 1:9; 3:5; 8:21; Ezr 6:10
Law. 4:31Law 4:26; Ho. 14:2
Law. 4:32Isa 53:7; Yoh 1:29; Ebr 9:14; 1Pe 1:19
Law. 4:32Law 3:6; Ebr 7:26; 9:14; 1Pe 2:22
Law. 4:33Law 1:11; 4:4
Law. 4:34Law 4:25; 16:18
Law. 4:35Kut 29:13; Law 3:3; 6:12; 9:10
Law. 4:35Law 1:4; 4:26, 31; 6:7; 16:30; Hes 15:28; Kol 1:14; 1Yo 2:2
Law. 4:351Yo 1:7
  • Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • Soma katika Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • 8
  • 9
  • 10
  • 11
  • 12
  • 13
  • 14
  • 15
  • 16
  • 17
  • 18
  • 19
  • 20
  • 21
  • 22
  • 23
  • 24
  • 25
  • 26
  • 27
  • 28
  • 29
  • 30
  • 31
  • 32
  • 33
  • 34
  • 35
Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
Mambo ya Walawi 4:1-35

Mambo ya Walawi

4 Na Yehova akaendelea kusema na Musa, na kumwambia: 2 “Sema na wana wa Israeli, uwaambie, ‘Ikiwa nafsi itatenda dhambi+ bila kukusudia+ katika yoyote kati ya mambo ambayo Yehova ameamuru yasifanywe, na kwa kweli afanye moja kati ya mambo hayo:

3 “‘Kuhani, aliyetiwa mafuta,+ akitenda dhambi+ na kuleta hatia juu ya watu, basi, kwa ajili ya dhambi yake ambayo ametenda,+ atamtolea Yehova ng’ombe-dume mchanga ambaye hana kasoro, kuwa toleo la dhambi. 4 Naye atamleta ng’ombe huyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano+ mbele za Yehova na kuuweka mkono wake juu ya kichwa cha ng’ombe huyo,+ naye atamchinja ng’ombe huyo mbele za Yehova. 5 Naye kuhani, aliyetiwa mafuta,+ atachukua sehemu ya damu ya ng’ombe huyo na kuileta ndani ya hema la mkutano; 6 naye kuhani atachovya kidole+ chake ndani ya damu hiyo na kutapanya sehemu ya damu hiyo mara saba+ mbele za Yehova mbele ya pazia la mahali patakatifu. 7 Naye kuhani atatia sehemu ya damu hiyo juu ya pembe+ za madhabahu ya uvumba uliotiwa manukato mbele za Yehova, iliyo ndani ya hema la mkutano, na damu yote iliyobaki ya ng’ombe huyo ataimimina kwenye msingi+ wa madhabahu ya toleo la kuteketezwa, iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano.

8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+ 9 na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, yale yaliyo juu ya viuno. Nacho kipasho kilicho juu ya ini, atakiondoa pamoja na figo.+ 10 Kitakuwa kama kile kilichoondolewa kutoka kwa yule ng’ombe-dume wa dhabihu ya ushirika.+ Naye kuhani atavifukiza kwenye madhabahu ya toleo la kuteketezwa.+

11 “‘Lakini ngozi ya ng’ombe-dume huyo na nyama yake yote pamoja na kichwa chake na miguu yake na matumbo yake na mavi yake,+ 12 atamtoa ng’ombe mzima mpaka nje ya kambi+ katika mahali safi ambapo yale majivu yenye mafuta+ humwagwa, naye atamteketeza juu ya kuni kwenye moto.+ Mahali ambapo majivu yenye mafuta humwagwa, anapaswa kuteketezwa hapo.

13 “‘Na kusanyiko lote la Israeli likifanya kosa+ na jambo hilo limefichwa machoni pa kutaniko ya kwamba wamefanya moja kati ya mambo yote ambayo Yehova ameamuru yasifanywe na kwa hiyo wamekuwa na hatia,+ 14 nayo dhambi ambayo wamefanya kinyume cha moja kati ya mambo hayo imejulikana,+ basi kutaniko litatoa ng’ombe-dume mchanga kwa ajili ya toleo la dhambi na kumleta mbele ya hema la mkutano. 15 Na wanaume wazee wa kusanyiko wataweka mikono yao juu ya kichwa cha ng’ombe+ huyo mbele za Yehova, na ng’ombe huyo atachinjwa mbele za Yehova.

16 “‘Kisha kuhani, aliyetiwa mafuta,+ ataleta sehemu ya damu ya ng’ombe-dume huyo ndani ya hema la mkutano.+ 17 Naye kuhani atachovya kidole chake katika sehemu ya damu hiyo na kuitapanya mara saba mbele za Yehova mbele ya pazia.+ 18 Naye atatia sehemu ya damu hiyo juu ya pembe za madhabahu+ iliyo mbele za Yehova, ambayo imo ndani ya hema la mkutano; na damu yote inayobaki ataimimina kwenye msingi wa madhabahu ya toleo la kuteketezwa,+ iliyo kwenye mwingilio wa hema la mkutano. 19 Naye atachukua mafuta yake yote, na kuyafukiza kwenye madhabahu.+ 20 Naye atamfanya huyo ng’ombe-dume kama alivyomfanya yule ng’ombe mwingine wa toleo la dhambi. Hivyo ndivyo atakavyomfanya; naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yao, ndipo watasamehewa. 21 Naye atamtoa huyo ng’ombe mpaka nje ya kambi na kumteketeza, kama alivyomteketeza ng’ombe-dume wa kwanza.+ Ni toleo la dhambi kwa ajili ya kutaniko.+

22 “‘Mkuu+ anapotenda dhambi naye afanye bila kukusudia moja kati ya mambo yote ambayo Yehova Mungu wake ameamuru yasifanywe,+ na kwa hiyo amekuwa na hatia, 23 au amejulishwa dhambi yake ambayo amefanya kinyume cha amri,+ basi atamleta mwana-mbuzi dume+ ambaye hana kasoro, awe toleo lake. 24 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa+ cha mwana-mbuzi huyo na kumchinja katika mahali ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa kwa ukawaida mbele za Yehova.+ Hilo ni toleo la dhambi.+ 25 Naye kuhani atachukua sehemu ya damu ya toleo la dhambi kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe+ za madhabahu hiyo ya toleo la kuteketezwa, naye ataimimina damu yake inayobaki kwenye msingi wa madhabahu ya toleo la kuteketezwa. 26 Naye atayafukiza mafuta yake yote kwenye madhabahu kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi zake,+ naye atasamehewa.

27 “‘Na ikiwa nafsi yoyote kati ya watu wa nchi itatenda dhambi bila kukusudia kwa kufanya moja kati ya mambo ambayo Yehova anaamuru yasifanywe nayo iwe na hatia,+ 28 au amejulishwa dhambi yake ambayo ametenda, basi atamtoa mwana-mbuzi jike+ ambaye hana kasoro, awe toleo lake kwa ajili ya dhambi ambayo amefanya. 29 Naye ataweka mkono wake juu ya kichwa+ cha toleo la dhambi na kulichinja toleo la dhambi katika mahali pale pale pa toleo la kuteketezwa.+ 30 Naye kuhani atachukua sehemu ya damu yake kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe+ za madhabahu ya toleo la kuteketezwa, naye ataimimina damu yake yote inayobaki kwenye msingi wa madhabahu.+ 31 Naye atayaondoa mafuta yake yote,+ kama mafuta yalivyoondolewa kwenye dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atayafukiza kwenye madhabahu yawe harufu ya kumtuliza Yehova;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake, naye atasamehewa.+

32 “‘Lakini ikiwa atamleta mwana-kondoo+ awe toleo lake la dhambi, atamleta mwana-kondoo jike ambaye hana kasoro.+ 33 Naye atauweka mkono wake juu ya kichwa cha toleo la dhambi na kumchinja awe toleo la dhambi katika mahali pale ambapo toleo la kuteketezwa huchinjiwa.+ 34 Naye kuhani atachukua sehemu ya damu hiyo ya toleo la dhambi kwa kidole chake na kuitia juu ya pembe za madhabahu ya toleo la kuteketezwa,+ naye ataimimina damu yake yote inayobaki kwenye msingi wa madhabahu. 35 Naye atayaondoa mafuta yake yote kama mafuta ya mwana-kondoo dume wa dhabihu ya ushirika yanavyoondolewa kwa ukawaida, naye kuhani atayafukiza kwenye madhabahu juu ya matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto;+ naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi ambayo amefanya, naye atasamehewa.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki