30 Na ikawa kwamba siku ileile iliyofuata, Musa akawaambia watu: “Ninyi—ninyi mmetenda dhambi kubwa,+ na sasa nitapanda kwenda kwa Yehova. Huenda nitaweza kufanya upatanisho kwa ajili ya dhambi yenu.”+
28 Naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya nafsi hiyo iliyofanya kosa kwa kutenda dhambi mbele za Yehova bila kukusudia, ili kuifanyia upatanisho, naye atasamehewa.+