-
Mambo ya Walawi 4:35Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
-
-
35 Naye atayaondoa mafuta yake yote kama mafuta ya mwana-kondoo dume wa dhabihu ya ushirika yanavyoondolewa kwa ukawaida, naye kuhani atayafukiza kwenye madhabahu juu ya matoleo ya Yehova yanayotolewa kwa njia ya moto;+ naye kuhani atafanya upatanisho+ kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi ambayo amefanya, naye atasamehewa.+
-