13 Nawe utayachukua mafuta yote+ yanayofunika matumbo,+ na kile kipasho kilicho juu ya ini,+ na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, nawe utavifukiza juu ya madhabahu.+
3 Naye atatoa sehemu ya dhabihu hiyo ya ushirika kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yaani, mafuta+ yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+
12 Na huo moto kwenye madhabahu utaendelea kuwaka juu yake. Usizimike. Naye kuhani atateketeza kuni+ juu yake asubuhi baada ya asubuhi na kuweka kwa utaratibu toleo la kuteketezwa juu yake, naye atafukiza vile vipande vyenye mafuta vya dhabihu ya ushirika juu yake.+
10 Naye akafukiza juu ya madhabahu+ mafuta+ na figo na kipasho cha ini kutoka katika lile toleo la dhambi, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.