Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe utayachukua mafuta yote+ yanayofunika matumbo,+ na kile kipasho kilicho juu ya ini,+ na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, nawe utavifukiza juu ya madhabahu.+

  • Mambo ya Walawi 3:3
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 3 Naye atatoa sehemu ya dhabihu hiyo ya ushirika kuwa toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, yaani, mafuta+ yanayofunika matumbo, naam, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+

  • Mambo ya Walawi 6:12
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 12 Na huo moto kwenye madhabahu utaendelea kuwaka juu yake. Usizimike. Naye kuhani atateketeza kuni+ juu yake asubuhi baada ya asubuhi na kuweka kwa utaratibu toleo la kuteketezwa juu yake, naye atafukiza vile vipande vyenye mafuta vya dhabihu ya ushirika juu yake.+

  • Mambo ya Walawi 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akafukiza juu ya madhabahu+ mafuta+ na figo na kipasho cha ini kutoka katika lile toleo la dhambi, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki