Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 3:5
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova.

  • Mambo ya Walawi 3:16
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+

  • Hesabu 18:17
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 17 Ila tu ng’ombe-dume aliye mzaliwa wa kwanza au mwana-kondoo dume aliye mzaliwa wa kwanza au mbuzi aliye mzaliwa wa kwanza hutawakomboa.+ Hao ni kitu kitakatifu. Damu+ yao unapaswa kuinyunyiza juu ya madhabahu, na mafuta yao utayafukiza kama toleo linalotolewa kwa njia ya moto ili kuwa harufu ya kumtuliza Yehova.+

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki