Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Mambo ya Walawi 1:9
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+

  • Mambo ya Walawi 7:31
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 31 Naye kuhani atayafukiza+ mafuta kwenye madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Haruni na wanawe.+

  • Mambo ya Walawi 9:10
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 10 Naye akafukiza juu ya madhabahu+ mafuta+ na figo na kipasho cha ini kutoka katika lile toleo la dhambi, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki