Mambo ya Walawi 7:23 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 23 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Msile mafuta+ yoyote ya ng’ombe-dume au mwana-kondoo dume au ya mbuzi. 1 Samweli 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakati mtu huyo angemwambia: “Acha kwanza wafukize moshi wa mafuta.+ Kisha ujichukulie chochote ambacho nafsi yako inatamani,”+ yeye hakika alisema: “Hapana, lazima unipe sasa; ikiwa sivyo, nitaichukua kwa nguvu!”+
23 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Msile mafuta+ yoyote ya ng’ombe-dume au mwana-kondoo dume au ya mbuzi.
16 Wakati mtu huyo angemwambia: “Acha kwanza wafukize moshi wa mafuta.+ Kisha ujichukulie chochote ambacho nafsi yako inatamani,”+ yeye hakika alisema: “Hapana, lazima unipe sasa; ikiwa sivyo, nitaichukua kwa nguvu!”+