Mambo ya Walawi 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+ Mambo ya Walawi 7:25 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 25 Kwa maana mtu yeyote anayekula mafuta kutoka kwa mnyama anayemtoa awe toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, nafsi inayokula itakatiliwa mbali+ na watu wake. Mambo ya Walawi 7:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 Naye kuhani atayafukiza+ mafuta kwenye madhabahu, lakini kidari kitakuwa cha Haruni na wanawe.+
16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+
25 Kwa maana mtu yeyote anayekula mafuta kutoka kwa mnyama anayemtoa awe toleo linalotolewa kwa Yehova kwa njia ya moto, nafsi inayokula itakatiliwa mbali+ na watu wake.