Mambo ya Walawi 3:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+ Mambo ya Walawi 3:17 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 17 “‘Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’” Mambo ya Walawi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+ 1 Samweli 2:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Wakati mtu huyo angemwambia: “Acha kwanza wafukize moshi wa mafuta.+ Kisha ujichukulie chochote ambacho nafsi yako inatamani,”+ yeye hakika alisema: “Hapana, lazima unipe sasa; ikiwa sivyo, nitaichukua kwa nguvu!”+
16 Naye kuhani atavifukiza juu ya madhabahu kama chakula, toleo linalotolewa kwa njia ya moto kuwa harufu ya kutuliza. Mafuta yote ni ya Yehova.+
17 “‘Ni sheria mpaka wakati usio na kipimo kwa ajili ya vizazi vyenu, katika makao yenu yote: msile mafuta yoyote wala damu+ yoyote.’”
8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+
16 Wakati mtu huyo angemwambia: “Acha kwanza wafukize moshi wa mafuta.+ Kisha ujichukulie chochote ambacho nafsi yako inatamani,”+ yeye hakika alisema: “Hapana, lazima unipe sasa; ikiwa sivyo, nitaichukua kwa nguvu!”+