Mambo ya Walawi 4:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Naye atachukua mafuta yake yote, na kuyafukiza kwenye madhabahu.+ Mambo ya Walawi 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye atayafukiza mafuta yake yote kwenye madhabahu kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi zake,+ naye atasamehewa.
26 Naye atayafukiza mafuta yake yote kwenye madhabahu kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atafanya upatanisho kwa ajili yake kwa ajili ya dhambi zake,+ naye atasamehewa.