Mambo ya Walawi 4:26 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 26 Naye atayateketeza mafuta yake yote kwenye madhabahu ili yafuke moshi kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atatoa dhabihu ya kufunika dhambi ya mtu huyo, naye atasamehewa.
26 Naye atayateketeza mafuta yake yote kwenye madhabahu ili yafuke moshi kama yale mafuta ya dhabihu ya ushirika;+ naye kuhani atatoa dhabihu ya kufunika dhambi ya mtu huyo, naye atasamehewa.