Mambo ya Walawi 1:7 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 7 Na wana wa Haruni, makuhani, watawasha moto kwenye madhabahu+ na kuweka kuni kwa utaratibu kwenye moto.+ Mambo ya Walawi 3:5 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova. Nehemia 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 yaani, ya kuleta kuni+ kwa nyakati zilizowekwa na ya matunda ya kwanza yaliyoiva. Unikumbuke+ kwa ajili ya wema,+ Ee Mungu wangu.
7 Na wana wa Haruni, makuhani, watawasha moto kwenye madhabahu+ na kuweka kuni kwa utaratibu kwenye moto.+
5 Nao wana wa Haruni+ wataifukiza+ kwenye madhabahu, juu ya toleo la kuteketezwa lililo juu ya kuni+ zilizo katika moto, kuwa toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza+ Yehova.
31 yaani, ya kuleta kuni+ kwa nyakati zilizowekwa na ya matunda ya kwanza yaliyoiva. Unikumbuke+ kwa ajili ya wema,+ Ee Mungu wangu.