Mwanzo 22:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Mwishowe wakafika mahali ambapo Mungu wa kweli alikuwa amemwonyesha, naye Abrahamu akajenga madhabahu+ hapo na kuziweka kuni kwa utaratibu, akamfunga Isaka mwana wake mikono na miguu na kumweka juu ya madhabahu juu ya zile kuni.+ Nehemia 13:31 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 31 yaani, ya kuleta kuni+ kwa nyakati zilizowekwa na ya matunda ya kwanza yaliyoiva. Unikumbuke+ kwa ajili ya wema,+ Ee Mungu wangu.
9 Mwishowe wakafika mahali ambapo Mungu wa kweli alikuwa amemwonyesha, naye Abrahamu akajenga madhabahu+ hapo na kuziweka kuni kwa utaratibu, akamfunga Isaka mwana wake mikono na miguu na kumweka juu ya madhabahu juu ya zile kuni.+
31 yaani, ya kuleta kuni+ kwa nyakati zilizowekwa na ya matunda ya kwanza yaliyoiva. Unikumbuke+ kwa ajili ya wema,+ Ee Mungu wangu.