Mambo ya Walawi 8:16 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 16 Kisha akachukua mafuta yote yaliyokuwa kwenye matumbo, na kipasho cha ini na figo mbili na mafuta yake naye Musa akayafukiza juu ya madhabahu.+ Mambo ya Walawi 9:19 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 19 Navyo vile vipande vyenye mafuta+ vya yule ng’ombe-dume na ule mkia mnono+ wa yule kondoo-dume na yale mafuta yanayofunika na zile figo na kile kipasho cha ini,
16 Kisha akachukua mafuta yote yaliyokuwa kwenye matumbo, na kipasho cha ini na figo mbili na mafuta yake naye Musa akayafukiza juu ya madhabahu.+
19 Navyo vile vipande vyenye mafuta+ vya yule ng’ombe-dume na ule mkia mnono+ wa yule kondoo-dume na yale mafuta yanayofunika na zile figo na kile kipasho cha ini,