Kutoka 29:13 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 13 Nawe utayachukua mafuta yote+ yanayofunika matumbo,+ na kile kipasho kilicho juu ya ini,+ na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, nawe utavifukiza juu ya madhabahu.+ Mambo ya Walawi 4:8 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+ Zaburi 69:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+
13 Nawe utayachukua mafuta yote+ yanayofunika matumbo,+ na kile kipasho kilicho juu ya ini,+ na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, nawe utavifukiza juu ya madhabahu.+
8 “‘Na mafuta yote ya ng’ombe huyo wa toleo la dhambi atayaondoa kutoka kwake, mafuta yanayofunika matumbo, ndiyo, mafuta yote yaliyo juu ya matumbo,+
9 Kwa maana bidii nyingi kwa ajili ya nyumba yako imenila,+Na shutuma za wale wanaokushutumu zimeniangukia.+