Mambo ya Walawi 1:9 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+ Mambo ya Walawi 9:14 Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya 14 Na zaidi, akaosha matumbo na miguu na kuvifukiza juu ya lile toleo la kuteketezwa kwenye madhabahu.+
9 Na matumbo+ yake na miguu yake itaoshwa kwa maji; naye kuhani atafukiza vyote hivyo kwenye madhabahu viwe toleo la kuteketezwa, toleo linalotolewa kwa njia ya moto lililo na harufu ya kumtuliza Yehova.+
14 Na zaidi, akaosha matumbo na miguu na kuvifukiza juu ya lile toleo la kuteketezwa kwenye madhabahu.+