Watchtower MAKTABA KWENYE MTANDAO
Watchtower
MAKTABA KWENYE MTANDAO
Kiswahili
  • BIBLIA
  • MACHAPISHO
  • MIKUTANO
  • Kutoka 29:13
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 13 Nawe utayachukua mafuta yote+ yanayofunika matumbo,+ na kile kipasho kilicho juu ya ini,+ na zile figo mbili na mafuta yaliyo juu yake, nawe utavifukiza juu ya madhabahu.+

  • Mambo ya Walawi 7:23
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 23 “Sema na wana wa Israeli, na kuwaambia, ‘Msile mafuta+ yoyote ya ng’ombe-dume au mwana-kondoo dume au ya mbuzi.

  • Mambo ya Walawi 7:30
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 30 Mikono yake italeta yale mafuta+ yaliyo kwenye kidari yawe toleo la Yehova linalotolewa kwa njia ya moto. Atayaleta pamoja na kidari hicho ili akitikise huku na huku kikiwa toleo la kutikisa+ mbele za Yehova.

  • 1 Wafalme 8:64
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 64 Siku hiyo mfalme alilazimika kutakasa sehemu ya katikati ya ua ulio mbele ya nyumba ya Yehova,+ kwa sababu ilimpasa atoe hapo dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka na vipande vyenye mafuta vya dhabihu za ushirika; kwa maana ile madhabahu ya shaba+ iliyoko mbele za Yehova ilikuwa ndogo mno isiweze kuchukua ile dhabihu ya kuteketezwa na toleo la nafaka na vipande vya mafuta+ vya dhabihu za ushirika.

  • Ezekieli 44:15
    Biblia Takatifu—Tafsiri ya Ulimwengu Mpya
    • 15 “ ‘Nao makuhani Walawi,+ wana wa Sadoki,+ ambao walitunza wajibu wa patakatifu pangu wakati ambapo wana wa Israeli waliondoka wakaenda mbali nami,+ wao wenyewe watanikaribia na kunihudumia, nao watasimama mbele zangu+ na kunitolea mafuta+ na damu,’+ asema Bwana Mwenye Enzi Kuu Yehova.

Maktaba Kwenye Mtandao (1980-2025)
Toka
Ingia
  • Kiswahili
  • Shiriki
  • Mapendezi
  • Copyright © 2025 Watch Tower Bible and Tract Society of Pennsylvania
  • Masharti ya Utumiaji
  • Sera ya Faragha
  • Mpangilio wa Faragha
  • JW.ORG
  • Ingia
Shiriki